Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya viongozi wa ODM wanataka Oburu kutuliza mzozo unaoongezeka chamani

  • | KBC Video
    764 views
    Duration: 3:24
    Baadhi ya viongozi wa ODM wanataka Kaimu kiongozi wa chama hicho Seneta Oburu Oginga kuitisha kikao cha viongozi wa chama hicho na kutuliza mzozo unaoongezeka kwenye chama hicho. Wakiongozwa na makamu wawili wa wenyeviti wa kitaifa, Otiende Amollo na John Ariko, wamesema kuwa iwapo matatizo ya ndani hayatatatuliwa haraka, huenda yakaathiri imani ya wananchi kwa chama hicho na kupunguza umaarufu wake kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive