Skip to main content
Skip to main content

Baraza la wanahabari nchini limeanzisha rasmi kongamano la wasimamizi wa Vilabu vya wanahabari

  • | Citizen TV
    496 views
    Duration: 5:37
    Baraza la wanahabari nchini limeanzisha rasmi kongamano la wasimamizi wa Vilabu vya wanahabari katika taasisi za elimu hususan shule za upili. Kongamano hilo la kipekee limeleta wanachama wa vilabu hivyo kutoka kaunti tano za ukanda wa Nyanza pamoja, kujadili maswala ibuka katika tasnia ya uanahabari.