Skip to main content
Skip to main content

Bobi Wine 'Museveni alidanganya kuongoza miaka 4 sasa ni 40'

  • | BBC Swahili
    11,568 views
    Duration: 1:32
    Kiongozi wa upinzani nchini uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, amemshutumu rais Yoweri Museveni kwa kudanganya wananchi na kung’ang’ania madaraka kwa takriban miaka 40. Katika mahojiano maalum, Bobi Wine amesema kampeni zake zimekumbwa na vitisho na unyanyasaji kutoka kwa vyombo vya usalama, akidai kuwa hali hiyo inalenga kudhoofisha upinzani kabla ya uchaguzi. @shuayib.ibrahim alifanya mazungu na @bobiwine - - #bbcswahili #uchaguziuganda2026 #siasa #bobiwine #museveni Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw