CCM yasema Martha Karua wa Kenya alingilia maamuzi ya mahakama
Chama tawala nchini Tanzania CCM kimesema suala la mwanasiasa wa Kenya Martha Karua kuingilia maamuzi ya mahakama ya nchi hiyo ndio lililosababisha kuzuiliwa kwa wanaharakati wengine waliotaka kuja kushuhudia kesi ya mwanasiasa wa upinzani Tundu Lissu.
Katika mahojiano maalum na BBC, Makamu mwenyekiti wa chama hicho, Stephen Wasira amesema hatua hiyo ilikua ni kama kuingilia maamuzi ya ndani ya nchi kitu ambacho hakikubaliki.
Ameanza kwa kumuelezea mwandishi wa BBC David Nkya malalamiko ya kwamba vyombo vya dona nchini humo vinatumika kuukandamiza upinzani.
#bbcswahili #tanzania #ccm
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
1 Jun 2025
- President William Ruto addressed a number of key national issues in his Madaraka Day speech.
1 Jun 2025
- The protesters are seeking the release of a tech developer apprehended on Friday.
1 Jun 2025
- The World Bank recently poked holes in the payments by the informal sector.
1 Jun 2025
- A number of Kenyan journalists deployed to cover Madaraka Day celebrations in Homa Bay County were injured after an assault by security officers.
1 Jun 2025
- President William Ruto announced the introduction of a health fund payment model that will allow Kenyans to remit their Social Health Authority (SHA) contributions flexibly.
1 Jun 2025
- Kenyans will be able to access up to Ksh. 5 million home loan if a proposal by President William Ruto is submitted to the National Assembly and passed into law.
1 Jun 2025
- The government has unveiled a new flexible payment plan for Social Health Authority (SHA) contributors in the informal sector. Speaking at the 62nd Madaraka Day celebrations in Homa Bay, Ruto said the plan dubbed Lipa SHA pole pole will enable Kenyans to…
1 Jun 2025
- Rose Njeri, a Kenyan website developer, has spent two days in police custody.
1 Jun 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga has called for the compensation of the families affected by the deaths and injuries of the Kenyan youth during the 2024 anti-tax protests.
1 Jun 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga has reiterated his call for the national government to empower devolution by allocating more financial resources to county governments. Raila argues that decentralized units are best positioned to respond directly to…
1 Jun 2025
- Exhibition looks at suicide, alcoholism
1 Jun 2025
- Madaraka Day: Ruto tells Kenyans to dream big as Hustler Fund and NYOTA lift youth
1 Jun 2025
- Forgiveness must address parents living with graves of their children