Skip to main content
Skip to main content

Ebola: LSK yataka mahakama kuruhusu ziara maalumu katika Kambi ya Jeshi la Anga ya Laikipia

  • | NTV Video
    270 views
    Duration: 59s
    Chama cha mawakili Nchini (LSK) pamoja na Katiba Institute sasa zinaitaka Mahakama Kuu kuruhusu ziara maalumu katika Kambi ya Jeshi la Anga ya Laikipia ili kuthibitisha iwapo serikali imetekeleza agizo la mahakama lililositisha ujenzi wa kituo cha karantini ya Ebola. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya