19 Jan 2026 1:14 pm | Citizen TV 474 views Duration: 2:32 Familia ambazo jamaa zao wanadaiwa kuuwawa na maafisa wa polisi wameilamu mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa polisi IPOA kwa kile wanachosema ni kupuuza uchunguzi wa visa hivyo vya mauaji haswa katika eneo la Pwani.