Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Abdiaziz Duba aliyetoweka Juja yataka polisi waagizwe kumfikisha mahakamani jamaa wao

  • | KBC Video
    323 views
    Duration: 4:05
    Familia ya Adiaziz Duba, ambaye alitoweka katika eneo la Juja, kaunti ya Kiambu, tarehe 23 mwezi Juni mwaka huu, imewasilisha ombi la kutaka jamaa yao afikishwe mahakamani. Kupitia mawakili wao, familia hiyo ilimuelezea Jaji Alexander Muteti kuwa inataka mahakama iaagize maafisa wa upelelezi wamfikishe jamaa yao mahakamani au wathibitishe aliko, kwa kuwa familia hiyo iko katika hali ya wasiwasi kutokana na kutoweka kwake.Taarifa kamili ni kwenye mizani ya haki. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive