- 1,940 viewsBaadhi ya Familia zilizopoteza wana wao kwenye mkasa wa moto katika shule ya wasichana ya Utumishi, gilgil, sasa zimetambulia miili hiyo na kuwasilisha sampuli za msimbojeni. Uchunguzi wa DNA unaendelea ili kutambua miili ya wale waliotekea zaidi kiasi cha kutotambulika