Skip to main content
Skip to main content

Familia zatambua baadhi ya miili ya wanafunzi, uchunguzi wa DNA waendelea

  • | Citizen TV
    1,940 views
    Baadhi ya Familia zilizopoteza wana wao kwenye mkasa wa moto katika shule ya wasichana ya Utumishi, gilgil, sasa zimetambulia miili hiyo na kuwasilisha sampuli za msimbojeni. Uchunguzi wa DNA unaendelea ili kutambua miili ya wale waliotekea zaidi kiasi cha kutotambulika