29 May 2026 1:11 pm | Citizen TV 76,071 views Duration: 4:41 Maafisa wa DCI wawakamata wanafunzi wananne wa shule ya upili ya wasichana ya Utumishi Gilgil, wakihusishwa na kuteketeza bweni la shule hiyo na kusababisha vifi vya wenzao 16 huku wengine saba wakijeruhiwa.