Skip to main content
Skip to main content

Gachagua asema alitimuliwa kinyume na katiba ya Kenya

  • | Citizen TV
    8,276 views
    Duration: 38s
    Kesi ya kutimuliwa ofisini kwa aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua inaendelea katika mahakama ya milimani. Kupitia mawakili wake, Gachagua aliiambia mahakama kwamba aliondolewa ofisini kinyume cha sheria na hivyo anapaswa kulipwa mshahara na marupurupu ya zaidi ya shilingi milioni 80, ya miezi 35 ambayo angehudumu akiwa naibu rais katika muhula wa kwanza wa rais William Ruto