Skip to main content
Skip to main content

Gachagua atangaza azma ya kuwania urais 2027

  • | Citizen TV
    9,578 views
    Duration: 2:41
    Kinara wa DCP Rigathi Gachagua amesema kuwa atawania kiti cha urais mwaka ujao. Akizungumza huko Kitengela, Kaunti ya Kajiado, Gachagua amesema yuko tayari kugaragazana na Rais William Ruto katika mchuano wa Ikulu mwaka ujao na kuwataka wakazi wa Kajiado kumuunga mkono kuwa rais wa sita wa taifa hili.