Skip to main content
Skip to main content

Hali mbaya ya hospitali za Baringo

  • | Citizen TV
    429 views
    Duration: 2:07
    Kamati ya Seneti kuhusu Afya imebaini hali mbaya ya huduma za afya katika Kaunti ya Baringo baada ya ziara ya ukaguzi iliyoongozwa na Mwenyekiti wake, Jackson Mandago. Ziara hiyo iligeuka kuwa tathmini ya dharura baada ya kamati kupata miundombinu chakavu, uhaba wa dawa, na vifaa tiba visivyofanya kazi katika hospitali kadhaa za kaunti hiyo.