- 646 viewsMakamu wa Rais wa Marekani Mdemocrat Kamala Harris na Rais wa zamani Mrepublikan Donald Trump walikuwa hawajawahi kukutana mpaka usiku wa Jumanne katika mdahalo wao wa urais, lakini mara moja walianza kulumbana katika ushindani muhimu kuelekea katika uchaguzi wa Novemba 5. Wagombea hao wawili walisalimiana kabla ya kuanza mdahalo, kila mmoja akaelekea kwenye sehemu yake jukwaani katika National Constitution Center huko Philadelphia na kuanza kulumbana. Walibishana kuhusu uchumi wa Marekani, haki ya kutoa mimba kwa wanawake wa Marekani, uhamiaji katika mpaka wa Marekani na Mexico, vita vya Israel na Hamas huko Gaza, uvamizi wa Russia nchini Ukraine, na ghasia katika Bunge la Marekani Januari 6, 2021, wakati Congress ikiidhinisha Bunge likirasmisha matokeo ya uchaguzi 2020 ambao Trump alishindwa. Akieleza kushindwa kwa Trump uchaguzi wa 2020 ambapo Rais Joe Biden alishinda, Harris alisema, “Donald Trump alifukuzwa kazi na watu milioni 81. Ana wakati mgumu kulikubali hilo. Trump hivi karibuni alisema alishindwa katika uchaguzi “kwa kura chache,” lakini katika jukwaa la mdahalo Jumanne, alisema alikuwa anafanya kejeli na kukataa kukubali uhalali wa matokeo ya uchaguzi wa 2020. #harris #trump #debate #uselections #voa
Harris, Trump waanza malumbano mwanzo kabisa wa mdahalo wao
- - 5 August 2025 ››
- 5 Aug 2025 - Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
- 5 Aug 2025 - Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
- 5 Aug 2025 - Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
- 5 Aug 2025 - The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
- 5 Aug 2025 - According to KMPDC appeals to be made after 90 days; bed update requests due by August 8.
- 5 Aug 2025 - A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
- 5 Aug 2025 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
- 5 Aug 2025 - The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
- 5 Aug 2025 - This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
- 5 Aug 2025 - The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…