- 9,171 viewsDuration: 3:10Wakazi mtaani Huruma hapa Nairobi waliandamana leo kulalamikia kupigwa risasi kwa mvulana wa miaka 14 hapo jana. Wakazi hao wanasema wanaume wanne waliovalia kiraia na kujitambulisha kuwa maafisa wa polisi walitofautiana na wakazi wakati wa uchunguzi wa kisa cha uhalifu na kudaiwa kufyatua risasi hewani ili kutawanya wakazi. mtoto huyu akiripotiwa kupigwa risasi akiwa kwenye roshani ya nyumba yao.