Skip to main content
Skip to main content

IEBC imewataka wananchi kujitokeza na kujisajili kuwa wapiga kura

  • | Citizen TV
    244 views
    Duration: 1:51
    Tume ya uhaguzi na mipaka IEBC imewataka wananchi kujitokeza na kujisajili kama wapiga kura ili kuweza kuwachagua viongozi waadilifu. Wakizungumza katika hafla ya kutoa hamasisho kwa umma Kuhusu masuala ya uongozi, wadau hao wamesema wameweka mikakati ya kuwafikia wapiga kura ili kuhakikisha wanaelewa umuhimu wa kuwachagua viongozi wanaostahili. Aidha viongozi wa kisiasa na wa kidini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa kufanya maamuzi ya uongozi kwa kujisajili na kupiga kura ili kufanikisha maendeleo.