Skip to main content
Skip to main content

Jamii ya wasamburu yatakiwa kuwacha ukeketaji

  • | Citizen TV
    204 views
    Duration: 3:02
    Changamoto imetolewa kwa jamii ya wafugaji ya wasamburu kukomesha tohara ya mtoto wa kike,na badala yake kugeukia mbinu nyengine isiyokuwa na madhara. Haya yamejiri wakati wa kufuzu kwa wasichana waliopokezwa mafunzo mbalimbali ya ujuzi ili kuwalinda dhidi ya makali ya ukeketaji.