"Jirani zetu wa Tanzania kama tumewakosea tunaomba radhi"
Rais wa Kenya William Ruto Rais William Ruto ameomba radhi mataifa jirani ya Uganda na Tanzania katika hatua ambayo inaonekana kama juhudi za kuimarisha uhusiano kati ya mataifa hayo ya Afrika Mashariki.
Akizungumza wakati wa dhifa ya maombi ya Kitaifa jijini Nairobi, Rais Ruto alitoa wito wa kuboreshwa kwa uhusiano, akibainisha kuwa Kenya ipo katikaharakati ya "kujijenga upya".
Kauli ya Ruto inakuja wakati ambapo mvutano umeibuka kufuatia hatua ya Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya waliokuwa wamesafari hadi nchini humo kushuhudia kusikilizwa kwa kesi kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.
#bbcswahili #kenya #tanzania
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.