Jukwaa ka mikutano ya kisiasa limeporomoka na kuua watu watu tisa na kujeruhi darzen #short #shorts
Takriban Watu tisa wameuawa na wapatao 50 kujeruhiwa baada ya upepo mkali kusambaratisha jengo kubwa la tamasha inakofanyika mikutano ya kisiasa huko Mexico, Jumatano.
Picha zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zimeonyesha madhara yaliyotokea punde baada ya jukwaa kuanguka, watu wakikimbia na kupiga kelele wakati upepo mkali ukipiga
Shiria la habari la Reuters liliweza kulinganisha picha ya eneo hilo kwa kuangalia video za vyombo vya habari vya ndani vilivyokuwepo katika na eneo la tukio zilizopostiwa na mgombea umeya wa San Pedro Garza Garcia, Lorenia Canavati katika mtandao wa kijamii.
Shirika la habari liliweza kuthibitisha tarehe ya picha hizo kutoka maktaba ya Metadata.
Jorge Alvarez Maynez, mgombea urais wa chama cha Centrist Citizens' Movement, alisema upepo mkali ulisababisha jukwaa kuporomoka wakati wa mkutano wa kampeni katika jiji la San Pedro Garza Garcia, eneo tajiri karibu na kitovu cha Monterrey.
#mexico #rally #stage #collapse #deaths #injuries #voaswahili
16 Jun 2024
- The CS questioned DP on what he was doing while the rest of the Cabinet was working.
16 Jun 2024
- Zelenskyy remarked that this was after he held talks with President Ruto on the sidelines of the Peace Summit in Ukraine held in Switzerland.
16 Jun 2024
- This disruption will affect all motorists going from Nairobi to Mombasa and vice versa.
16 Jun 2024
- Thousands of women protested on Saturday against a bill advancing in Brazil's conservative Congress that would equate abortions after 22 weeks of pregnancy to homicide and establish sentences of six to 20 years in prison.
16 Jun 2024
- China will loan Australia new "adorable" giant pandas to replace a popular pair that failed to produce offspring in more than a decade together, visiting Premier Li Qiang announced Sunday.
16 Jun 2024
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has apprehended a Kisumu-based Advocate of the High Court of Kenya and a court clerk for soliciting a Ksh.500,000 bribe from a litigant.
16 Jun 2024
- Nairobi Governor Johnson Sakaja has donated 500 goats to the Muslim community in honor of Eid ul Adha.
16 Jun 2024
- German sportswear giant Adidas has launched an investigation into alleged large-scale bribery in China after senior employees were accused of embezzling millions of dollars, the Financial Times reported Sunday.
16 Jun 2024
- Police on Saturday afternoon gunned down two suspected armed robbers after exchange of fire near Got Kokech village along Homa Bay-Kendu Bay Road.
16 Jun 2024
- Garissa Governor Nathif Jama welcomed the ongoing probe by the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) on eight senior officials on allegations of siphoning public funds.
16 Jun 2024
- Nakuru County has petitioned the national government to assist in relocating and compensating tens of families displaced by the rising waters of Lake Naivasha.
16 Jun 2024
- The suspects are said to have drawn their pistols during their arrest but were subdued.
16 Jun 2024
- Catherine, Princess of Wales, on Saturday tentatively returned to UK public life for the first time since being diagnosed with cancer, attending a military parade in London to mark King Charles III's official birthday.