Jukwaa ka mikutano ya kisiasa limeporomoka na kuua watu watu tisa na kujeruhi darzen #short #shorts
Takriban Watu tisa wameuawa na wapatao 50 kujeruhiwa baada ya upepo mkali kusambaratisha jengo kubwa la tamasha inakofanyika mikutano ya kisiasa huko Mexico, Jumatano.
Picha zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zimeonyesha madhara yaliyotokea punde baada ya jukwaa kuanguka, watu wakikimbia na kupiga kelele wakati upepo mkali ukipiga
Shiria la habari la Reuters liliweza kulinganisha picha ya eneo hilo kwa kuangalia video za vyombo vya habari vya ndani vilivyokuwepo katika na eneo la tukio zilizopostiwa na mgombea umeya wa San Pedro Garza Garcia, Lorenia Canavati katika mtandao wa kijamii.
Shirika la habari liliweza kuthibitisha tarehe ya picha hizo kutoka maktaba ya Metadata.
Jorge Alvarez Maynez, mgombea urais wa chama cha Centrist Citizens' Movement, alisema upepo mkali ulisababisha jukwaa kuporomoka wakati wa mkutano wa kampeni katika jiji la San Pedro Garza Garcia, eneo tajiri karibu na kitovu cha Monterrey.
#mexico #rally #stage #collapse #deaths #injuries #voaswahili
15 May 2025
- Kabogo's plea comes a day after he responded to the online trolls by Kenyans.
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.
15 May 2025
- The expansion of the Rironi-Mau Summit Road into a dual carriageway will commence this July, Deputy President Kithure Kindiki announced on Thursday.
15 May 2025
- Kenya's electricity supply will not be interrupted despite several major dams exceeding their capacity, top energy officials confirmed on Thursday.
15 May 2025
- EACC on Wednesday arrested three directors of Ramagon Construction Company Limited in an ongoing probe on the under siege Matili Technical Training Institute (MTTI) which is facing auction.
15 May 2025
- The government has unveiled a multi-agency team that will consolidate existing registers for all students in the country, from early childhood to university level, into a single integrated database.
15 May 2025
- Gospel artist Alex Nyachonga Apoko, popularly known as Ringtone, was on Thursday arraigned at the Milimani Law Courts alongside co-accused Alfred Juma Ayora over allegations of defrauding a businesswoman of a parcel of land worth Ksh.50 million.
15 May 2025
- Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has called on those opposing the leasing of four State-owned sugar factories to private millers to embrace the move to allow farmers to receive their benefits.
15 May 2025
- Kabogo's plea comes a day after he responded to the online trolls by Kenyans.
15 May 2025
- His family says the retired senior police officer died on Tuesday after a long illness.
15 May 2025
- The Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) found that Kenya Police officers’ population fell from 92, 350 in 2023 to 88, 483 officers in 2024.
15 May 2025
- The Media Council of Kenya (MCK) has launched the revised Code of Conduct for Media Practice 2025, a pivotal step to strengthen ethical standards in the nation’s evolving media landscape.