Jukwaa ka mikutano ya kisiasa limeporomoka na kuua watu watu tisa na kujeruhi darzen #short #shorts
Takriban Watu tisa wameuawa na wapatao 50 kujeruhiwa baada ya upepo mkali kusambaratisha jengo kubwa la tamasha inakofanyika mikutano ya kisiasa huko Mexico, Jumatano.
Picha zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zimeonyesha madhara yaliyotokea punde baada ya jukwaa kuanguka, watu wakikimbia na kupiga kelele wakati upepo mkali ukipiga
Shiria la habari la Reuters liliweza kulinganisha picha ya eneo hilo kwa kuangalia video za vyombo vya habari vya ndani vilivyokuwepo katika na eneo la tukio zilizopostiwa na mgombea umeya wa San Pedro Garza Garcia, Lorenia Canavati katika mtandao wa kijamii.
Shirika la habari liliweza kuthibitisha tarehe ya picha hizo kutoka maktaba ya Metadata.
Jorge Alvarez Maynez, mgombea urais wa chama cha Centrist Citizens' Movement, alisema upepo mkali ulisababisha jukwaa kuporomoka wakati wa mkutano wa kampeni katika jiji la San Pedro Garza Garcia, eneo tajiri karibu na kitovu cha Monterrey.
#mexico #rally #stage #collapse #deaths #injuries #voaswahili
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- Justice Ndung'u credits unlikely male allies in Parliament for breakthrough legislation protecting women