- 316 views
Naibu Rais Rigathi Gachagua amewaonya maafisa wa usalama na machifu dhidi ya kujihusisha na ufisadi unaochangia kuenea kwa utumizi na uuzaji wa pombe haramu nchini. Gachagua amesema kuwa serikali haitawasaza wasimamizi wanaovuruga mikakati ya kukabiliana na utumizi wa pombe haramu na hata mihadarati. Akizungumza wakati wa mkutano kuhusu pombe haramu kaunti ya Tharaka Nithi, Gachagua pamoja na waziri wa usalama wa kitaifa Profesa Kithure Kindiki wamesema kuwa serikali itatoa upya leseni za watengenezaji vileo ili kuwanasa wanaotumia leseni zao kutengeneza pombe ghushi. Waziri Kindiki hata hivyo amesema kuwa biashara zinazoendeshwa kwa njia iliyo halali zitalindwa
Kampuni za kutengeza vileo zapewa leseni upya
- 10 Aug 2025 - Mali has arrested around 20 soldiers suspected of wishing to overthrow the junta, which itself took power in the west African country in a coup, sources told AFP on Sunday.
- 10 Aug 2025 - A family in Kitui County has been left in shock and grief after their wedding preparations suddenly turned into funeral arrangements, following the tragic death of their daughter, who was the bride-to-be.
- 10 Aug 2025 - South Sudan and Uganda will jointly investigate recent deadly clashes on their border, the South Sudanese army said Sunday, after six people died in fighting.
- 10 Aug 2025 - Speaking in Tononoka on Sunday, Prof. Kindiki said the completion of the Liwatoni Fish Port, Kidongo Fish Market, and the acquisition of deep sea fishing vessels will significantly enhance fishing and related businesses along the Coast.
- 10 Aug 2025 - Police in Mombasa on Sunday said they arrested a man and a woman on suspicion of drug trafficking and intercepted a haul of marijuana in the process.
- 10 Aug 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has defended the government’s plan to compensate protest victims and their families, describing the move as just, timely, and in the best interest of the Kenyan people.
- 10 Aug 2025 - The Nairobians braved the cold to attend an economic empowerment forum.
- 10 Aug 2025 - Ryan Ogam’s 42nd-minute goal proved decisive during the Stars game against Morocco.
- 10 Aug 2025 - Stars will look to build on this momentum as they take on Zambia in their final group match.
- 10 Aug 2025 - The chief officer for environment will seek reinforcement from thousands of workers.