Skip to main content
Skip to main content

Kandawala na dereva wa lori wajeruhiwa kwenye ajali Bungoma

  • | Citizen TV
    4,662 views
    Duration: 1:30
    Kandawala wa gari moshi pamoja na dereva wa trela wanauguza majeraha mabaya katika hospitali moja mjini Bungoma baada ya gari moshi na trela kugongana katika eneo la Pamus kwenye barabara kuu ya Bungoma kuelekea Mumias.