Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Bungoma yaweka mikakati ya kukabili ugonjwa wa kichocho

  • | Citizen TV
    140 views
    Duration: 1:13
    Kaunti ya bungoma imejizatiti kukabiliana na visa vya maambukizi ya ugonjwa wa kichocho kutokana na kuwepo kwa vyoo vya kutosha katika sehemu za makazi. Takwimu hii ikishabikiwa wakati ulimwengu unapoadhimisha siku ya kimataifa ya choo.