Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Kajiado yashirikiana na AMREF kwa mkataba wa ushirikiano wa kupunguza vifo vya kina mama

  • | Citizen TV
    391 views
    Duration: 3:37
    Wizara ya afya Katika kaunti ya Kajiado imetia saini mkataba wa Ushirikiano na mashirika mbali mbali likiwemo shirika la afya la Amref ambao unalenga kusaidia kupunguza vifo vinavyotokea wakati wa kina mama wanajifungua. Kwenye mkataba huo tayari wizara ya afya imepokea vifaa vya kuwasaidia kina mama kujifungu katika vituo zaidi ya 40 hasa vilivyoko mashinani.