Skip to main content
Skip to main content

Kenya kutekeleza sera za kurahisisha biashara mipakani

  • | Citizen TV
    19 views
    Waziri wa Afrika Mashariki na maeneo kame Beatrice Askul amesisitiza dhamira ya Kenya ya kutekeleza sera za kurahisisha biashara ya mipakani mwa mataifa ya Afrika Mashariki.