- 1,330 viewsDuration: 2:27Kesi kuhusu utepetevu wa kliniki ya ulimbwende ya body by design inayohusishwa na mauaji ya mfanyabiashara Lucy Wambui Nganga iliendelea katika mahakama ya Kibera. Hapo jana, mumewe marehemu Francis Nganga alitoa ushahidi wake akidai kuwa kliniki hiyo ilikosa wataalam na ufahamu wa kumhudumia mkewe