Kijana alia baada ya kubusu mkono wa Papa Francis
Kijana wa Kiindonesia alikumbatiwa na Papa Francis. Kijana huyo alilia wakati wa ziara ya papa alipokuwa akihudhuria mkutano wa muungano wa kidini na kukutana na wanufaika kutoka taasisi za hisani huko Jakarta Alhamisi (September 5).
Papa ambaye anasumbuliwa na maumivu ya magoti na mgongo, alikuwa katika kiti cha magurudumu akiingia katika ukumbi huku akiwasalimia watu. Wakati kijana huyo alipoinama kubusu mkono wa Papa, alianza kulia na Francis alikivuta kichwa cha kijana huyo karibu naye kifuani na kumkumbatia.
Papa Francis Alhamisi alitoa wito kwa Waislam na Wakristo kushinikiza viongozi wa dunia kukabiliana na hatari za mabadiliko ya hali ya hewa na misimamo mikali ya kiitikadi, na kueleza chimbuko la pamoja la imani za dini mbalimbali alipokuwa akifanya ziara katika msikiti mkubwa zaidi huko Southeast Asia huko Jakarta.
Papa yuko katika ziara ya Indonesia hadi Ijumaa (Septemba 6), ikiwa ni sehemu ya safari yake ya siku 12 katika nchi nne kwenye eneo la Southeast Asia na Oceania. - Reuters
#papafrancis #indonesia #jakarta #uislam #ukristo #ukatoliki #haliyahewa #viongozi #dunia
5 Aug 2025
- The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
5 Aug 2025
- This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
5 Aug 2025
- Pastor was removed from duty due to alleged misconduct.
5 Aug 2025
- Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
5 Aug 2025
- Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
5 Aug 2025
- Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
5 Aug 2025
- The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
5 Aug 2025
- A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
5 Aug 2025
- The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
5 Aug 2025
- The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
5 Aug 2025
- This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
5 Aug 2025
- The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…
5 Aug 2025
- Pastor was removed from duty due to alleged misconduct.