Skip to main content
Skip to main content

Kikundi kipya cha wanaharakati wanawake kimezinduliwa jijini Nairobi kuunga Rais

  • | Citizen TV
    1,324 views
    Duration: 1:23
    Kikundi kipya cha wanaharakati wanawake kimezinduliwa jijini nairobi kuunga mkono muhula wa pili wa rais William Ruto, huku ikilenga kusambaza ajenda yake na kupambana na kile wanachodai kuwa ni upotoshaji wa taarifa kutoka kwa upinzani