- 694 viewsDuration: 1:45Huku mjadala kuhusu mpango wa serikali wa kubinafsisha baadhi ya mashirika ya umma ukiendelea, Kiongozi wa Wengi katika Seneti, Aaron Cheruiyot, ametetea mpango huo. Akizungumza huko Mosop, Kaunti ya Nandi, wakati wa hafla ya kuchangisha fedha za kanisa,