Skip to main content
Skip to main content

Kizaazaa Kitengela: Afisa wa DCI ajeruhi watu wawili kwa risasi

  • | Citizen TV
    8,065 views
    Duration: 56s
    Watu wawili wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya Kajiado baada ya kudaiwa kupigwa risasi na afisa mmoja wa idara ya upelelezi wa jinai (DCI) katika eneo moja la burudani mtaani Kitengela