- 546 viewsDuration: 3:01Muungano wa madaktari -KMPDU umetishia kusitisha huduma za madaktari katika hospitali za umma kaunti ya Embu. KMPDU inasema kuwa utepetevu wa serikali ya kaunti na usimamizi mbaya wa rasilmali za afya kaunti hiyo ndio chanzo cha huduma duni katika hospitali ya ishiara level 4 na hospitali zingine za umma kaunti hiyo.