7 Nov 2025 7:32 pm | Citizen TV 93 views Duration: 50s Shinikizo limepungua kwa muda kwa kocha wa Tusker Fc Charles Okere baada ya kupata ushindi wake wa tatu msimu huu ijumaa alasiri. Tusked Fc iliifunga Bidco united 1-0 na kupanda hadi nafasi ya tano kwenye ligi kuu ya Kenya