Skip to main content
Skip to main content

Kocha wa Tusker Charles Okere apata afueni baada ya ushindi wa tatu msimu huu

  • | Citizen TV
    93 views
    Duration: 50s
    Shinikizo limepungua kwa muda kwa kocha wa Tusker Fc Charles Okere baada ya kupata ushindi wake wa tatu msimu huu ijumaa alasiri. Tusked Fc iliifunga Bidco united 1-0 na kupanda hadi nafasi ya tano kwenye ligi kuu ya Kenya