"Kuona picha za kaka yangu akiwa amekonda kama mifupa ni aina ya ukatili,"
Hamas ilitoa video Jumamosi inayoonyesha Evyatar David, kaka wa Ilay mwenye umri wa miaka 24 akiwa ndani ya handaki akichimba kaburi ambalo anasema ni kwa ajili yake mwenyewe.
Video hiyo, inayomwonyesha mateka huyo akiwa amedhoofika sana ndani ya handaki, imelaaniwa vikali na viongozi wa Israel na mataifa ya Magharibi.
Kitengo cha kijeshi cha Hamas kimekanusha madai kwamba kinawalaza njaa mateka kwa makusudi, kikisema kuwa mateka hula kile wanachokula wapiganaji wao pamoja na raia wa Gaza.
#bbcswahili #hamas #Israel
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
5 Aug 2025
- The changes are set to improve the operational efficiency of NTSA.
5 Aug 2025
- The report reveals that the World Bank granted the government full ownership over the site, after which the government made a separate deal.
5 Aug 2025
- Teachers who have stagnated will be prioritised.
5 Aug 2025
- Auditor-General Nancy Gathungu has flagged accountability and transparency gaps within the government’s eCitizen digital payment platform, pointing to potential misuse of billions of shillings and raising alarm over service delivery failures in key…
5 Aug 2025
- The changes are set to improve the operational efficiency of NTSA.
5 Aug 2025
- The report reveals that the World Bank granted the government full ownership over the site, after which the government made a separate deal.
5 Aug 2025
- Investigations into the alleged abduction of Juja Member of Parliament George Koimburi are still incomplete, the Milimani Law Courts heard on Tuesday.
5 Aug 2025
- The campaign will be rolled out in Kenya, five other African nations
5 Aug 2025
- Education CS asked team to avoid infighting and overreach in their new role
5 Aug 2025
- Ruto said the construction is set to be completed before the next general election.
5 Aug 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has released a new survey that has listed police officers as the most corrupt and unethical professionals.
5 Aug 2025
- The United States has temporarily banned travellers from Burundi, its embassy in the tiny Great Lakes nation said on Monday, citing "repeated violations".
5 Aug 2025
- Teachers who have stagnated will be prioritised.