Maaandalizi ya mazishi katika Hospitali ya AL-Aqsa Martyrs
Mashambulizi ya angani yaliyofanywa na Israeli Jumanne yameuwa Wapalestina wasiopungua 17 katika kambi mbili zilizo kuwa za kwanza kuanzishwa katika Ukanda wa Gaza na vifaru vya Israeli viliingia ndani zaidi ya eneo finyu la mji wa Rafah ulioko kusini, wakazi na wafanyakazi afya walisema.
Maandalizi ya Mazishi yakiendelea katika Hospitali ya AL-Aqsa Martyrs huko Deir AL-Balah, Gaza, ambapo familia kadhaa zilipoteza wapendwa wao katika mashambulizi ya angani yaliofanywa na Israeli.
Wakazi wameripoti mashambulizi ya mabomu yenye nguvu yanayofanywa na vifaru na ndege kadhaa katika maeneo kadhaa ya Rafah, ambapo zaidi ya watu milioni moja walikuwa wamekimbilia kutafuta hifadhi kabla ya mwezi Mei. Wengi kati ya watu hao wamekimbilia kaskazini tangu wakati huo wakati majeshi ya Israeli yalipokuwa yakivamia mji huo.
Tangu Hamas ilipofanya shambulizi Oktoba 7, mashambulizi ya Israel huko Gaza yameuwa zaidi ya Wapalestina 37,400, kulingana na maafisa wa afya wa Gaza.
Hamas inayoongozwa na watu wenye silaha imeua takriban watu 1,200 na kuwateka watu zaidi ya 250 katika uvamizi wa Oktoba 7 waliofanya ndani ya Israel, kulingana na hesabu iliyojumlishwa na Israel.
-Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel #Deiralbalah
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- Trump recently spared Kenya from tariff slaps.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Countries remained at loggerheads Monday over how to tackle plastic pollution, with only four days left to craft a landmark global treaty on reining in the ever-growing scourge.
11 Aug 2025
- Public Health Principal Secretary Mary Muthoni has warned management of level 2, level 3 and sub county hospitals against charging patients when they seek outpatient medical attention in those facilities.
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- President Donald Trump pledged on Sunday to evict homeless people from the nation's capital and jail criminals, despite Washington's mayor arguing there is no current spike in crime.
11 Aug 2025
- Israel's military said it killed an Al Jazeera journalist it accused of being a Hamas cell leader in a Gaza airstrike on Sunday, but rights advocates said he had been targeted for his frontline reporting on the Gaza war and Israel's claim lacked…
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- They say many have been sitting back and waiting for the state to provide jobs
11 Aug 2025
- Police said one Erick Mutembei Njagi, 53, was shot and killed by four gunmen who were riding on a motorcycle.