Skip to main content
Skip to main content

Maandalizi ya mbio za Nyika za Chepsaita yakamilika

  • | Citizen TV
    142 views
    Duration: 2:21
    Gavana wa Uasin Gishu Jonathan Bii, Daktari Andrew Toro wa wizara ya afya na mwasisi wa mbio za nyika za Chepsaita, Farouk Kibet , waliogoza hafla ya kambi ya matibabu ya bure katika shule ya msingi ya Chepkemel huko Turbo.