- 694 viewsDuration: 1:04Maaskofu wa kanisa katoliki wamekemea uhuni unaoendelea kwenye mikutano ya kisiasa. Maaskofu hao wanawashtumu viongozi kwa kuwatumia vijana kuzua vurugu mikutanoni wakionya kuwa hali hiyo ikiendelea itasababisha uhasama na mgawanyiko mkubwa nchini. Aidha wamewataka wanasiasa kukomesha matusi kwenye mikutano yao