- 2,228 viewsDuration: 3:02Maaskofu wa kanisa katoliki wameelezea wasiwasi wao kuhusu kuongezeka kwa visa vya wahuni kuvuruga mikutano na kuvamia makanisa. Maaskofu hao wametamaushwa na jinsi wahuni wanavyoendeleza uhalifu bila hatua zozote kuchukuliwa, wakisema inaonekana kama wanalindwa. Pia maaskofu hao wamekashifu matusi na wanasiasa kukoseana heshima.