Skip to main content
Skip to main content

Maendeleo ya Makueni

  • | Citizen TV
    240 views
    Duration: 2:20
    Serikali ya Makueni imetoa ripoti ya maendeleo ya miaka mitatu ya kaunti hiyo. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa shilingi bilioni 10.26 zimetumika kutekeleza miradi 1,430 katika wadi 30 za kaunti hiyo. Gavana Mutula analalamikia kucheleweshwa kwa mgao wa kaunti, akisema ni kikwazo kikubwa cha kuafikia maendeleo mashinani.