- 1,683 viewsDuration: 2:12Ni afueni ya muda kwa maelfu ya wakaazi wa mtaa wa makongeni hapa Nairobi baada ya mahakama kusitisha ubomoaji unaoendeshwa na serikali. Wakaazi walioathiriwa wameiambia mahakama kuwa serikali haikufuata kanuni kwenye ubomoaji huo unaonuiwa kupisha ujenzi wa nyumba za serikali.