Skip to main content
Skip to main content

Mahakama yasitisha kwa muda agizo la TVETA kuhusu vyeti vya taasisi

  • | Citizen TV
    548 views
    Duration: 3:13
    Ni afueni kwa taasisi ya mafunzo ya kim baada ya mahakama kuu kutoa amri ya muda kusitisha hatua ya halmashauri ya elimu za kiufundi tveta kufunga taasisi hiyo na kubatilisha vyeti vya wanafunzi zaidi ya laki moja. Wakati huo huo, waziri wa elimu Migos Ogamba ameonekana kukinzana na uamuzi wa tveta akiwahakikishia maafala wa chuo hicho kuwa vyeti hivyo vinasalia halali.