- 2,110 viewsDuration: 3:16Mahakama imeongeza kwa siku kumi zaidi amri ya kusimamisha uuzaji wa hisa za serikali katika kampuni ya safaricom, ili kufanya uamuzi wa iwapo kusitishwa huko kutaendelea au la. Hii ni baada ya walalamishi katika kesi hiyo kupinga uuzaji huo wakisema unaweza kuathiri mamilioni ya wakenya, kwa kuweka data zao hatarini. Pia wanadai kuwa kampuni hiyo hutumika katika ukusanyaji na usambazaji wa data za matokeo ya urais, na hivyo uuzaji wake unaweza kuathiri uwazi wa uchaguzi.