- 136 viewsMajeshi ya Israeli yaliondoka kutoka katika mji wa Palestina wa Jenin Ijumaa (Septemba 6), wakiacha athari za uharibifu mkubwa wa majumba na miundombinu, kufuatia moja ya operesheni kubwa kabisa ya kiusalama katika eneo ambalo limekuwa likikaliwa kwa mabavu huko Ukingo wa Magharibi kwa miezi kadhaa. Akihojiwa kuhusu madai ya kuwa eneo hilo lina maghaidi, Samaher Abu Nassa, mkaazi wa eneo hilo la Jenin alisema: Hapana, sisi siyo magaidi, sisi ni watu wa amani. Wao ndiyo magaidi, wanawauwa watoto wetu.” Jeshi la Israeli lilisema operesheni hiyo ililenga kuzuia vikundi vya wanamgambo vinavyoungwa mkono na Iran kupanga mashambulizi dhidi ya raia wa Israeli. Limesema kuwa majeshi ya Israeli yamewauwa wanamgambo 14 wakati wa operesheni hiyo, ikiwemo makamanda wa eneo wa Hamas huko Jenin. Siku ya Ijumaa, maelfu walijiunga katika maziko kuwapeleka makaburini wale waliouwawa wakati wa mapigano. Wakati majeshi ya Israeli yalijikita hasa katika sehemu kubwa ya mwaka uliopita huko Gaza, Ukingo wa Magharibi umeshuhudia kuongezeka ghasia. Zaidi ya Wapalestina 680 wameuwawa huko Ukingo wa Magharibi na East Jerusalem, kulingana na wizara ya afya ya Palestina. #voaswahili #afrika #hezbollah #israel #hamas #fatah #iran #islamicjihad #watoto #vifo #jenin #gaza
Majeshi ya Israeli yaacha athari za uharibifu Jenin
- - 5 August 2025 ››
- 5 Aug 2025 - Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
- 5 Aug 2025 - Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
- 5 Aug 2025 - Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
- 5 Aug 2025 - The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
- 5 Aug 2025 - A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
- 5 Aug 2025 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
- 5 Aug 2025 - The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
- 5 Aug 2025 - This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
- 5 Aug 2025 - The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…
- 5 Aug 2025 - Pastor was removed from duty due to alleged misconduct.