Skip to main content
Skip to main content

Manusura wa maandamano wakataa pole, wamtaka Rais Ruto aombe msamaha moja kwa moja

  • | Citizen TV
    1,064 views
    Manusura wa ghasia za maandamano sasa wanamtaka Rais William Ruto kuwaomba msamaha wao moja kwa moja kutokana na dhuluma mikononi mwa maafisa wa serikali. Manusura hao wamekataa kile wanachokieleza kuwa msamaha wa rais ambao haujakamilika. Pia wanaitaka kamati iliyoshughulikia mipango ya fidia kuweka wazi orodha ya watu wanaotarajiwa kupokea fidia hizo.