Skip to main content
Skip to main content

Sarah Wairimu ashindwa kustahimili video za kesi ya Tob Cohen

  • | Citizen TV
    21,272 views
    Duration: 3:06
    Mjane wa marehemu Tob Cohen, Sarah Wairimu, alishindwa kustahimili hali baada ya maafisa wa polisi kuonyesha mahakamani video za jinsi maiti ya Cohen ilivyopatikana ikiwa imefichwa kwenye tangi la maji baada ya kuuawa. Video hizo zilionyesha jinsi maiti hiyo ilivyokuwa imefungwa kwa kamba na kufunikwa. Wakati huo huo, Wairimu pia aliomba mahakama impatie ruhusa ya kuzuru nyumba yake pamoja na kumruhusu kutoa fedha zake benki.