- 2,284 viewsDuration: 3:04Wanaharakati wanaibua masuali kuhusu kifo cha David Munene Mwaniki, mwanmme wa miaka 42 aliyefariki hospitali baada ya kukamatw ana maafisa wa kulinda misitu kerugoya. Uchunguzi wa maiti ulibainisha kuwa alitoka nyingi kwenye ubongo baada ya kupigwa. David alikuwa amepelekwa hospitalini siku moja baada ya kukamatwa kufuatia amri ya mahakama.