Mazishi ya mwanajeshi wa Israeli aliyeuwawa katika mapigano Gaza
Familia, marafiki na wanajeshi walihudhuria mazishi huko katika makaburi ya kijeshi ya Mount Herzl, Jerusalem Jumanne (Juni 11) kwa ajili ya mwanajeshi wa Israeli mwenye umri wa miaka 19 aliyeuawa katika mapigano huko kusini mwa Gaza.
Sagenti Almog Shalom ni mmoja wa wapiganaji wanne waliouwawa Jumatatu (Juni 10), jeshi la Israeli lilisema.
Zaidi ya wanajeshi wa Israeli 600 wameuwawa tangu kuanza kwa vita hivyo huko Gaza Oktoba 7.
Tangazo la Jeshi la Israeli lilikuja saa kadhaa baada ya bunge la Israeli kuendelea na sheria yenye utata ya kuwasajili jeshini wanafunzi wa misimamo mikali ya dini ya dhehebu la ultra-orthodox.
Mswaada wa usajili huo utashuhudia kidogo kidogo kuingia katika jeshi baadhi ya Wayahudi wa dhehebu la ultra-Orthodox, ambao walikuwa wanautamaduni wa kukataa kutumikia majeshi ya ulinzi.
Licha ya kuwa hapo awali ilipendekezwa na Jenerali mstaafu Benny Gantz, ambaye alijiuzulu katika serikali kutokana na mvutano juu ya mvutano wa malengo ya kimkakati ya vita vya Gaza, hivi sasa anapinga hatua hiyo, ambayo anasema haitoshelezi kwa mahitaji ya wafanyakazi wapya yanayo likabili jeshi.
- Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel
15 May 2025
- Kenya is currently looking for investors in its aging electrical infrastructure.
15 May 2025
- Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
15 May 2025
- On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.
15 May 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP).
15 May 2025
- Police are investigating the killing of a taxi driver, Samuel Mwangi, whose body was discovered in a thicket in Machakos.
15 May 2025
- The petition, filed as Bench Petition No. E565 of 2024, was scheduled for May 15, 2025.
15 May 2025
- The Environment and Land Court in Garissa has issued temporary orders halting any new settlements or expansion activities along a disputed three-mile strip at the boundary between Tana River and Garissa counties. This directive follows a petition filed…
15 May 2025
- By the time of his death and burial on July 15, 2005, the son was eight years old.
15 May 2025
- In a historic first, Makueni County has achieved a breakthrough in healthcare after local doctors at the Makueni County Referral Hospital have successfully conducted the first brain tumour surgery, an achievement many once thought could only happen in…
15 May 2025
- Kenya is currently looking for investors in its aging electrical infrastructure.
15 May 2025
- Nandi County Senator Samson Cherargei has opined that Kenya's opposition's expected launch of a new political faction will not successfully topple President William Ruto from power.
15 May 2025
- Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
15 May 2025
- On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.