Mazishi ya mwanajeshi wa Israeli aliyeuwawa katika mapigano Gaza
Familia, marafiki na wanajeshi walihudhuria mazishi huko katika makaburi ya kijeshi ya Mount Herzl, Jerusalem Jumanne (Juni 11) kwa ajili ya mwanajeshi wa Israeli mwenye umri wa miaka 19 aliyeuawa katika mapigano huko kusini mwa Gaza.
Sagenti Almog Shalom ni mmoja wa wapiganaji wanne waliouwawa Jumatatu (Juni 10), jeshi la Israeli lilisema.
Zaidi ya wanajeshi wa Israeli 600 wameuwawa tangu kuanza kwa vita hivyo huko Gaza Oktoba 7.
Tangazo la Jeshi la Israeli lilikuja saa kadhaa baada ya bunge la Israeli kuendelea na sheria yenye utata ya kuwasajili jeshini wanafunzi wa misimamo mikali ya dini ya dhehebu la ultra-orthodox.
Mswaada wa usajili huo utashuhudia kidogo kidogo kuingia katika jeshi baadhi ya Wayahudi wa dhehebu la ultra-Orthodox, ambao walikuwa wanautamaduni wa kukataa kutumikia majeshi ya ulinzi.
Licha ya kuwa hapo awali ilipendekezwa na Jenerali mstaafu Benny Gantz, ambaye alijiuzulu katika serikali kutokana na mvutano juu ya mvutano wa malengo ya kimkakati ya vita vya Gaza, hivi sasa anapinga hatua hiyo, ambayo anasema haitoshelezi kwa mahitaji ya wafanyakazi wapya yanayo likabili jeshi.
- Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- Trump recently spared Kenya from tariff slaps.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Countries remained at loggerheads Monday over how to tackle plastic pollution, with only four days left to craft a landmark global treaty on reining in the ever-growing scourge.
11 Aug 2025
- Public Health Principal Secretary Mary Muthoni has warned management of level 2, level 3 and sub county hospitals against charging patients when they seek outpatient medical attention in those facilities.
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- President Donald Trump pledged on Sunday to evict homeless people from the nation's capital and jail criminals, despite Washington's mayor arguing there is no current spike in crime.
11 Aug 2025
- Israel's military said it killed an Al Jazeera journalist it accused of being a Hamas cell leader in a Gaza airstrike on Sunday, but rights advocates said he had been targeted for his frontline reporting on the Gaza war and Israel's claim lacked…
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- They say many have been sitting back and waiting for the state to provide jobs
11 Aug 2025
- Police said one Erick Mutembei Njagi, 53, was shot and killed by four gunmen who were riding on a motorcycle.