- 2,888 viewsDuration: 3:19Madai ya ulaji rushwa na mlungula sasa yameingia bunge la kitaifa huku mbunge wa bumula Jack Wamboka akitimuliwa kwenye wadhfa wake wa mwenyekiti wa kamati ya uwekezaji kwa madai ya ufisadi. Akitangaza uamuzi huo, naibu spika wa bunge la kitaifa Gladys Boss, amesema mwenyekiti wa tume ya kitaifa ya uwiano na utangamano NCIC Dkt. Samuel Kobia, aliibua malalamishi kwamba mbunge huyo alimuitisha rushwa kwenye kamati yake.