Skip to main content
Skip to main content

Mfanyabiashara auwawa na polisi Karatina

  • | Citizen TV
    828 views
    Duration: 2:40
    Wafanyabiashara wa Karatina kaunti ya nyeri walifunga barabara kuu, wakitaka hatua kuchukuliwa dhidi ya polisi aliyempiga risasi mfanyabiashara George Gathu jana usiku. mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa polisi IPOA imesema imeanzisha uchunguzi, baada ya afisa huyo Peter Wamiti Mwangi kukamatwa.