Skip to main content
Skip to main content

Mhudumu wa BodaBoda apigwa na kuuawa mjini Webuye

  • | Citizen TV
    2,824 views
    Duration: 1:02
    Wahudumu wa bodaboda mjini Webuye wamelalamikia kudorora kwa hali ya usalama mjini humo na viunga vyake hasa baada ya kuuawa kwa mmoja wao usiku wa kuamkia jumapili. Mwili wa marehemu ukipatikana na majeraha mabaya katika eneo la weighbridge mjini humo.