Skip to main content
Skip to main content

Mikakati ya kuhifadhi msitu wa Mlima Elgon yaanzishwa

  • | Citizen TV
    85 views
    Duration: 1:57
    Shirika la Huduma za Misitu Nchini KFS kwa ushirikiano na taasisi za KALRO na FAO zimeandaa warsha ya kwanza ya wadau mbalimbali katika Chuo cha Kitaifa cha Ufundi mjini Kitale, likilenga kuimarisha juhudi za kuhifadhi Msitu wa Mlima Elgon. Warsha hiyo imewaleta pamoja wataalamu na washiriki tofauti ili kujadili mbinu na mikakati endelevu ya usimamizi wa misitu.