Skip to main content
Skip to main content

Moto wateketeza maduka Luthuli Road, wafanyibiashara wakadiria hasara

  • | Citizen TV
    6,726 views
    Duration: 2:40
    Wafanyibiashara wamewachwa wakikadiria hasara baada ya moto kuteketeza duka la ramogi kwenye barabara ya luthuli katikati mwa jiji la Nairobi usiku wa jana. Moto huo ulioteketeza maduka unaripotiwa kusababishwa na hitilifau ya umeme kwenye duka moja na kusambaa