- 10,863 viewsDuration: 3:01Baraza la madaktari nchini KMPDC linachunguza kisa kingine cha utepetevu wa afya ambapo mtoto wa miezi 8 aliripotiwa kukatwa kidole akiwa anatibiwa katika hospitali ya kibinafsi hapa Nairobi. Hali hii ikisababisha kuoza kwa kidole cha mtoto huyo na baadaye kuwalazimu madaktari kukikata.